Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mateo 19:4-5

Mateo 19:4-5 SRB37

Naye akajibu akisema: Hamkusoma, ya kuwa Muumbaji hapo mwanzo aliwaumba mume na mke, akasema: Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, agandamiane na mkewe, nao hao wawili watakuwa mwili mmoja?

Soma Mateo 19