Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mateo 14:30-31

Mateo 14:30-31 SRB37

Lakini alipotazama, upepo ulivyo na nguvu, akaogopa, akaanza kuzama majini, akapiga kelele akisema: Bwana, niokoa! Mara Yesu akaunyosha mkono, akamshika, akamwambia: Mbona unanitegemea kidogo tu? Mbona umeingiwa na wasiwasi?

Soma Mateo 14