Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 14:30-31

Mathayo 14:30-31 SRUV

Lakini alipouona upepo, akaogopa; akaanza kuzama, akapiga yowe, akisema, Bwana, niokoe. Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?

Soma Mathayo 14