Mateo 10:32-33
Mateo 10:32-33 SRB37
Kila atakayeungama mbele ya watu, kwamba ni mtu wangu, nami nitaungama mbele ya Baba yangu wa mbinguni, kwamba ni mtu wangu. Lakini atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu wa mbinguni.*
Kila atakayeungama mbele ya watu, kwamba ni mtu wangu, nami nitaungama mbele ya Baba yangu wa mbinguni, kwamba ni mtu wangu. Lakini atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu wa mbinguni.*