Malaki 3:1
Malaki 3:1 SRB37
Mtaniona, nikimtuma mjumbe wangu, atengeneze njia mbele yangu. Yule Bwana, mnayemtafuta, atakuja kutokea Jumbani mwake, msipomwazia. Naye mjumbe wa agano anayewapendeza mtamwona, anavyokuja; ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyosema.