Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 7:1-2

Mathayo 7:1-2 SCLDC10

“Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu; kwa maana jinsi mnavyowahukumu wengine, ndivyo nanyi mtakavyohukumiwa; na kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho Mungu atakachotumia kwenu.

Soma Mathayo 7