Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:3-4

Mathayo 6:3-4 SCLDC10

Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo. Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.

Soma Mathayo 6