Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 24:7-8

Mathayo 24:7-8 SCLDC10

Taifa moja litapigana na taifa lingine; ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine. Hapa na pale patakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi. Yote hayo ni kama mwanzo wa maumivu ya kujifungua mtoto.

Soma Mathayo 24