Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 18:2-3

Mathayo 18:2-3 SCLDC10

Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao, kisha akasema, “Nawaambieni kweli, msipogeuka na kuwa kama watoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Soma Mathayo 18