Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 14:30-31

Mathayo 14:30-31 SCLDC10

Lakini alipouona ule upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, “Bwana, niokoe!” Hapo, Yesu akaunyosha mkono wake, akamshika na kumwambia, “Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?”

Soma Mathayo 14