Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 12:31

Mathayo 12:31 SCLDC10

Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.

Soma Mathayo 12