Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wathesalonike 1:6-7

2 Wathesalonike 1:6-7 SCLDC10

Mungu atafanya jambo la haki: Atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi na kuwapeni nafuu nyinyi mnaoteseka, na sisi pia. Atafanya jambo hilo wakati Bwana atakapotokea kutoka mbinguni pamoja na malaika wake wenye nguvu