Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 21:12-13

1 Sam 21:12-13 SCLDC10

Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Hivyo, akabadilisha tabia yake, akijifanya mwendawazimu, akawa anakwaruzakwaruza kwenye malango ya mji, na mate yake akayaacha yatiririke kwenye ndevu zake.

Soma 1 Sam 21