Warumi 4:7-8
Warumi 4:7-8 TKU
“Ni heri kwa watu wanaposamehewa kutokana na mabaya waliyotenda, dhambi zao zinapofutwa! Ni heri kwa watu, Bwana anapozifuta dhambi zao kutoka katika kumbukumbu yake!”
“Ni heri kwa watu wanaposamehewa kutokana na mabaya waliyotenda, dhambi zao zinapofutwa! Ni heri kwa watu, Bwana anapozifuta dhambi zao kutoka katika kumbukumbu yake!”