Warumi 4:17
Warumi 4:17 TKU
Kama Maandiko yanavyosema, “Nimekufanya uwe baba wa mataifa mengi.” Abrahamu aliposikia ahadi hii, aliiweka imani yake kwa Mungu. Mungu ndiye awapaye uhai waliokufa na kwa amri yake huumba kisichokuwepo.
Kama Maandiko yanavyosema, “Nimekufanya uwe baba wa mataifa mengi.” Abrahamu aliposikia ahadi hii, aliiweka imani yake kwa Mungu. Mungu ndiye awapaye uhai waliokufa na kwa amri yake huumba kisichokuwepo.