Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 3:10-12

Warumi 3:10-12 TKU

Kama Maandiko yanavyosema, “Hakuna atendaye haki, hakuna hata mmoja. Hakuna hata mmoja anayeelewa, hakuna anayetaka kumfuata Mungu. Wote wamegeuka na kumwacha, na hawana manufaa kwa yeyote. Hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.”

Soma Warumi 3

Video ya Warumi 3:10-12