Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wafilipi 2:9-11

Wafilipi 2:9-11 TKU

Hivyo ndiyo sababu Mungu alimpa mahali pa heshima sana, na akampa jina lililo kuu kuliko majina yote. Hivyo kila mtu atasujudu kumheshimu Yesu. Kila mmoja aliye mbinguni, duniani na wale walio chini ya dunia. Wote watakiri kwamba, “Yesu Kristo ni Bwana,” na hili litamtukuza Mungu Baba.

Soma Wafilipi 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wafilipi 2:9-11