Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 10:18-19

Warumi 10:18-19 SRUV

Lakini nasema, Je! Wao hawakusikia? Naam, wamesikia, Sauti yao imeenea duniani kote, Na maneno yao hadi katika miisho ya ulimwengu. Lakini nasema, Je! Waisraeli hawakufahamu? Kwanza Musa anena, Nitawatia wivu kwa watu ambao si taifa, Kwa taifa lisilo na fahamu nitawakasirisha.

Soma Warumi 10

Video ya Warumi 10:18-19