Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 10:11-13

Warumi 10:11-13 SRUV

Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Mgiriki; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye ukarimu mwingi kwa wote wamwitao; kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.

Soma Warumi 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 10:11-13

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha