Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 26:1-2

Mithali 26:1-2 SRUV

Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu. Kama shomoro katika kutangatanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpati mtu.

Soma Mithali 26