Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 23:6-8

Mithali 23:6-8 SRUV

Usile mkate wa mtu mwenye husuda; Wala usivitamani vyakula vyake vya anasa; Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Tonge lile ulilokula utalitapika, Na maneno yako matamu yatakupotea.

Soma Mithali 23