Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 21:8-10

Mithali 21:8-10 SRUV

Njia yake aliyelemewa na dhambi imepotoka sana; Bali mtu aliye safi, kazi yake ni sawasawa. Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi. Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.

Soma Mithali 21