Mithali 20:8-10
Mithali 20:8-10 SRUV
Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake. Nani awezaye kusema, Nimesafisha moyo wangu; Nimetakasika dhambi yangu? Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA.