Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 20:4-6

Mithali 20:4-6 SRUV

Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu. Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka. Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?

Soma Mithali 20