Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 14:7-8

Mithali 14:7-8 SRUV

Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa. Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.

Soma Mithali 14