Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 24:6-7

Mathayo 24:6-7 SRUV

Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado. Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa, na mitetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali.

Soma Mathayo 24