Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 20:3-4

Mathayo 20:3-4 SRUV

Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi; na hao nao akawaambia, Nendeni nanyi pia katika shamba langu la mizabibu, na iliyo haki nitawapa. Wakaenda.

Soma Mathayo 20

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 20:3-4

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha