Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 16:21

Mathayo 16:21 SRUV

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.

Soma Mathayo 16