Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 14:13

Mathayo 14:13 SRUV

Naye Yesu aliposikia hayo, aliondoka huko katika mashua, akaenda mahali pasipo watu, faraghani. Na makutano waliposikia, walimfuata kwa miguu kutoka mijini mwao.

Soma Mathayo 14