Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mambo ya Walawi 7:21

Mambo ya Walawi 7:21 SRUV

Kisha mtu awaye yote atakapogusa kitu chochote kilicho najisi, uchafu wa binadamu, au mnyama aliye najisi, au machukizo yoyote yaliyo najisi, kisha akala nyama ya dhabihu ya sadaka za amani, ambazo ni za BWANA, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake.