Maana yeye huvuta juu matone ya maji, Yamwagikayo katika mvua kutoka ukungu wake; Ambayo mawingu yainyesha Na kudondoza juu ya wanadamu kwa wingi. Naam, mtu aweza kuelewa matandazo ya mawingu, Ngurumo za makao yake? Tazama, yeye huutandaza mwanga wake, umzunguke; Naye hufunika vilindi vya bahari. Kwani huwahukumu makabila ya watu kwa njia hizi; Hutoa chakula kwa ukarimu. Yeye huifunika mikono yake kwa umeme; Na kuuagiza shabaha utakayopiga. Mshindo wake hutoa habari zake, Anayewaka hasira juu ya uovu.
Soma Ayubu 36
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Ayubu 36:27-33
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video