Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 51:36-37

Yeremia 51:36-37 SRUV

Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitakutetea, nami nitatwaa kisasi kwa ajili yako; nami nitaikausha bahari yake, nitaifanya chemchemi yake kuwa pakavu. Na Babeli utakuwa magofu, makao ya mbwamwitu, ajabu, na mazomeo, pasipo mtu wa kukaa huko.

Soma Yeremia 51