Yeremia 51:17-18
Yeremia 51:17-18 SRUV
Kila mtu amekuwa kama mnyama, hana maarifa; Kila mfua dhahabu amefedheheshwa na sanamu yake ya kuchonga; Maana sanamu yake ya kuyeyuka ni uongo, Wala hamna pumzi ndani yake. Ni ubatili tu, ni kazi za udanganyifu; Wakati wa kujiliwa kwao watapotea.

