Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 5:6

Yeremia 5:6 SRUV

Basi, kwa hiyo, simba atokaye mwituni atawaua, mbwamwitu wa jioni atawateka, chui ataivizia miji yao, kila mtu atokaye humo atararuliwa vipande vipande; kwa sababu makosa yao ni mengi, na kurudi nyuma kwao kumezidi.

Soma Yeremia 5