Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 5:6

Yeremia 5:6 BHN

Kwa hiyo simba kutoka msituni atawaua; mbwamwitu kutoka jangwani atawararua. Chui anaivizia miji yao. Kila atokaye humo atararuliwa vipandevipande, kwa sababu dhambi zao ni nyingi, maasi yao ni makubwa.

Soma Yeremia 5