Isaya 66:21-22
Isaya 66:21-22 SRUV
Na baadhi ya hao nitawatwaa kuwa makuhani na Walawi, asema BWANA. Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema BWANA, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.
Na baadhi ya hao nitawatwaa kuwa makuhani na Walawi, asema BWANA. Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema BWANA, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.