Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waraka kwa Waebrania 4:1-2

Waraka kwa Waebrania 4:1-2 SRUV

Basi, ikiwa ingalipo ahadi ya kuingia katika pumziko lake, na tuogope, mmoja wenu asije akaonekana ameikosa. Maana ni kweli, sisi nasi tumehubiriwa Habari Njema vile vile kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa hao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.