Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 6:5-6

Waefeso 6:5-6 SRUV

Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba mnamtii Kristo; wala si kwa utumwa wa macho tu kama wajipendekazao kwa wanadamu bali kama watumwa wa Kristo, mkitenda yampendezayo Mungu kwa moyo

Soma Waefeso 6