2 Wakorintho 12:16-17
2 Wakorintho 12:16-17 SRUV
Lakini na iwe hivyo, mimi sikuwalemea; bali kwa kuwa mwerevu niliwapata kwa hila. Je! Mtu yeyote niliyemtuma kwenu, kwa mtu huyo niliwatoza kitu?
Lakini na iwe hivyo, mimi sikuwalemea; bali kwa kuwa mwerevu niliwapata kwa hila. Je! Mtu yeyote niliyemtuma kwenu, kwa mtu huyo niliwatoza kitu?