Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 6:5-7

1 Timotheo 6:5-7 SRUV

na kuzozana miongoni mwa watu waliopotoka katika akili zao, walioikosa kweli, huku wakidhani ya kuwa utauwa ni njia ya kupata faida. Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa. Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu