Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 4:5

1 Wakorintho 4:5 SRUV

Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.