Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 11:28-29

1 Wakorintho 11:28-29 SRUV

Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe. Maana alaye na kunywa, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua ule mwili.