Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Rum 8:12-14

Rum 8:12-14 SUV

Basi, kama ni hivyo, ndugu, tu wadeni, si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili, kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi. Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.

Soma Rum 8

Video ya Rum 8:12-14