Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Rum 6:6-8

Rum 6:6-8 SUV

mkijua neno hili, ya kuwa utu wetu wa kale ulisulibishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena; kwa kuwa yeye aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi. Lakini tukiwa tulikufa pamoja na Kristo, twaamini ya kuwa tutaishi pamoja naye

Soma Rum 6

Video ya Rum 6:6-8