Zab 148:12-13
Zab 148:12-13 SUV
Vijana waume, na wanawali, Wazee, na watoto; Na walisifu jina la BWANA, Maana jina lake peke yake limetukuka; Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.
Vijana waume, na wanawali, Wazee, na watoto; Na walisifu jina la BWANA, Maana jina lake peke yake limetukuka; Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.