Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 140:6-8

Zab 140:6-8 SUV

Nimemwambia BWANA, Ndiwe Mungu wangu; Ee BWANA, uisikie sauti ya dua zangu. Ee MUNGU Bwana, nguvu za wokovu wangu, Umenifunika kichwa changu siku ya vita. Ee BWANA, usimpe asiye haki tamaa zake, Usiifanikishe hila yake, wasije wakajiinua.

Soma Zab 140