Tazama, enyi watumishi wa BWANA, Mhimidini BWANA, nyote pia. Ninyi mnaosimama usiku Katika nyumba ya BWANA. Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi BWANA. BWANA akubariki toka Sayuni, Aliyezifanya mbingu na nchi.
Shirikisha
Soma Zab 134
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video