Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 103:15-17

Zab 103:15-17 SUV

Mwanadamu siku zake zi kama majani; Kama ua la kondeni ndivyo asitawivyo. Maana upepo hupita juu yake, kumbe haliko! Na mahali pake hapatalijua tena. Bali fadhili za BWANA zina wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ina wana wa wana

Soma Zab 103