Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mk 13:14-16

Mk 13:14-16 SUV

Lakini mlionapo chukizo la uharibifu likisimama pasipolipasa, (asomaye na afahamu), ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani; na mtu aliye juu ya dari asishuke, wala asiingie kuchukua kitu nyumbani mwake; naye aliye shambani asirudi nyuma kulichukua vazi lake.

Soma Mk 13