Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mk 10:26-28

Mk 10:26-28 SUV

Nao wakashangaa mno, wakimwambia, Ni nani, basi, awezaye kuokoka? Yesu akawakazia macho, akasema, Kwa wanadamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu. Petro akaanza kumwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata wewe.

Soma Mk 10

Video zinazohusiana